Maandazi coco

Maandazi coco

Mandazi coconut
preparation-75x75

MUDA

Saa 1

difficulty-75x75

UGUMU

easy
portions-75x75

KUTOSHA

4 persons

Whisk

INGREDIENTS

MANDA

  • 1 Kikombe Unga wa ngano
  • 1/4 Kikombe Unga wa mtama
  • 3/4 Kikombe Maji
  • Kiasi kidogo Chumvi
  • 1/2 paketi Hamira Saf-instant 11g
  • Kijiko kkb 1 1/2 Sukari
  • Kijiko kkb 1 Majarini
  • Vijiko vkb 8 Machicha ya nazi

 

KUKAANGA

  • Mafuta ya kupikia

FEATURED PRODUCT

SAF-INSTANT-11g-RED

1

Weka maji ya vugu vugu ndani ya bakuli la kuchanganyia na changanya hamira

2

Weka unga wa ngano, unga wa mtama, chumvi, sukari, siagi au majarini iliyolainishwa na nazi.

3

Changanya manda mpaka yote itakapo kuwa inaugumu sawa. Kanda kwa dakika 5

4

Unda manda iwe kwenye umbo la mviringo. Acha itulie kwa muda wa dakika 2

5

Sukuma manda iwe mstatili kisha kata vipande 8 vinayolingana

6

Weka vipande kwenye kitambaa cha jikoni na acha viumuke kwa muda wa dakika 45

7

Washa jiko kwa moto wa wastani upashe mafuta moto na kaanga vipande mpaka pande zote mbili zigeuke kuwa rangi ya kahawia isiyoiva sana.

8

Toa kwenye mafuta kisha weka kwenye karatasi laini ya kunyonya mafuta.

You may also like:

No Comments

Sorry, the comment form is closed at this time.